KWELI SITA(6) ZA
MIZIMU
1; Mizimu ni malaika walioasi mbinguni
1; Mizimu ni malaika walioasi mbinguni
2;Mizimu ni
wapelelezi wa shetani
3;Mizimu
inauwezo wa kutoa nyaraka au taarifa ya mtu
4;Mizimu inafanya kazi kupitia wafu.
waebrania 9;27 ''Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu''
waebrania 9;27 ''Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu''
5;Mizimu inafanya
kazi kupitia waganga wa kienyeji
6;Mizimu
inauwezo wa kutunza taarifa za mtu, ukoo au kabila
*Kuhusu wafu
mtu akifa kuna sehemu mbili tu za kwenda.
a.Paradiso
–ni mahali pa mangojeo kwa uzima wa milele.
b.Kuzimu –ni mahali pa mangojeo pa jehanamu
Mtu akifa
anatengana na wewe ukiomba mtakatifu yeyote ni kuomba mizimu, ibada za wafu ni
kuabudu mizimu Luka 16:22-26{
Ikawa yule maskini alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa. Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na Lazaro kifuani mwake. Akalia, akasema, Ee baba Ibrahimu, nihurumie, umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu. Ibrahimu akasema, Mwanangu, kumbuka ya kwamba wewe uliyapokea mambo mema yako katika maisha yako, na Lazaro vivyo alipata mabaya; na sasa yeye yupo hapa anafarijiwa, na wewe unaumizwa. Na zaidi ya hayo, kati yetu sisi na ninyi kumewekwa shimo kubwa, ili wale watakao kutoka huku kwenda kwenu wasiweze; wala watu wa kwenu wasivuke kuja kwetu.}
Ndugu zangu hakuna mawasiliano baina ya mfu na walio hai hivyo mizimu hubeba sura ya mtu aliyekufa na sauti yake na kumtokea mtu kwa ndoto au maono au hata kumtokea moja kwa moja,
Jambo jingine la kutambua ni kwamba shetani huwafanya watu waamnini kwamba hata wao wakifa watakuja kuwatokea watu na hata wakiendelea na uovu hata wakifa wapo watu watawaombea na MUNGU atawatoa kuzimu na kuwapeleka mbinguni kitu ambacho hakipo na sio kweli. Hebu tafakari viongozi wengi wakuu wa serikali kuna siku maalumu umetengwa kwa mwaka kwamba ni siku yao na kila siku hiyo ikifika tunaenda kwenye makaburi yao na kuwaombea MUNGU awasamehe. Je wale wavuvi wanaokufa baharini na hakuna hata mmoja anayejua makaburi yao yalipo na hakuna hata mmoja anayewaombea je MUNGU siku hizi anaupendeleo? Yaani ukiwa raisi wa nchi lazima uingie pema peponi maana utakua na waombeaji wengi tena watakua na juhudi kukuombea kila mwaka siku yako ikifika jambo ambalo sio la kweli, MUNGU atusaidie na tutambue kuwa muda wa kumpa YESU maisha ni sasa wala sio baada ya kufa maana tukifa tu ni kuzimu au mbinguni na sio vinginevyo. Katika Isaya 8:19 Biblia inasema
''Na wakati watakapokuambia, Tafuta habari kwa watu wenye pepo na kwa wachawi; waliao kama ndege na kunong'ona; je! Haiwapasi watu kutafuta habari kwa Mungu wao? Je! Waende kwa watu waliokufa kwa ajili ya watu walio hai?''
Ndugu zangu pazia limekwisha kupasuka hivyo tunanaingia patakatifu moja kwa moja bila kuombewa na mtakatifu wa zamani maana BWANA YESU aliondosha kile kiambaza kilichokuwapo baina ya MUNGU na wanadamu ndiyo maana kupitia yeye(YESU) tnapata uzima bure kwa njia ya imani matendo 4:12 ''Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo''.
ila uzima huo tunaupata tungali hai sio tukifa
MAGOJWA YANAYOSABABISHWA NA MIZIMU
Ikawa yule maskini alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa. Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na Lazaro kifuani mwake. Akalia, akasema, Ee baba Ibrahimu, nihurumie, umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu. Ibrahimu akasema, Mwanangu, kumbuka ya kwamba wewe uliyapokea mambo mema yako katika maisha yako, na Lazaro vivyo alipata mabaya; na sasa yeye yupo hapa anafarijiwa, na wewe unaumizwa. Na zaidi ya hayo, kati yetu sisi na ninyi kumewekwa shimo kubwa, ili wale watakao kutoka huku kwenda kwenu wasiweze; wala watu wa kwenu wasivuke kuja kwetu.}
Ndugu zangu hakuna mawasiliano baina ya mfu na walio hai hivyo mizimu hubeba sura ya mtu aliyekufa na sauti yake na kumtokea mtu kwa ndoto au maono au hata kumtokea moja kwa moja,
Jambo jingine la kutambua ni kwamba shetani huwafanya watu waamnini kwamba hata wao wakifa watakuja kuwatokea watu na hata wakiendelea na uovu hata wakifa wapo watu watawaombea na MUNGU atawatoa kuzimu na kuwapeleka mbinguni kitu ambacho hakipo na sio kweli. Hebu tafakari viongozi wengi wakuu wa serikali kuna siku maalumu umetengwa kwa mwaka kwamba ni siku yao na kila siku hiyo ikifika tunaenda kwenye makaburi yao na kuwaombea MUNGU awasamehe. Je wale wavuvi wanaokufa baharini na hakuna hata mmoja anayejua makaburi yao yalipo na hakuna hata mmoja anayewaombea je MUNGU siku hizi anaupendeleo? Yaani ukiwa raisi wa nchi lazima uingie pema peponi maana utakua na waombeaji wengi tena watakua na juhudi kukuombea kila mwaka siku yako ikifika jambo ambalo sio la kweli, MUNGU atusaidie na tutambue kuwa muda wa kumpa YESU maisha ni sasa wala sio baada ya kufa maana tukifa tu ni kuzimu au mbinguni na sio vinginevyo. Katika Isaya 8:19 Biblia inasema
''Na wakati watakapokuambia, Tafuta habari kwa watu wenye pepo na kwa wachawi; waliao kama ndege na kunong'ona; je! Haiwapasi watu kutafuta habari kwa Mungu wao? Je! Waende kwa watu waliokufa kwa ajili ya watu walio hai?''
Ndugu zangu pazia limekwisha kupasuka hivyo tunanaingia patakatifu moja kwa moja bila kuombewa na mtakatifu wa zamani maana BWANA YESU aliondosha kile kiambaza kilichokuwapo baina ya MUNGU na wanadamu ndiyo maana kupitia yeye(YESU) tnapata uzima bure kwa njia ya imani matendo 4:12 ''Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo''.
ila uzima huo tunaupata tungali hai sio tukifa
MAGOJWA YANAYOSABABISHWA NA MIZIMU
Kuna
magonjwa ya ukoo ya kuhama kutoka kizazi hadi kizazi na magonjwa haya
husababisha na mizimu.
Pia kuna baadhi ya magonjwa yanasababishwa na mizimu mfano Pumu, kuumwa miguu, miguu kufa ganzi, vivimbe mbalimbali katika mwili, kutokukua kiroho, matumizi mabaya ya pesa na kutokupona magonjwa. Ndugu kimbilia maombezi na utakuwa huru mbali na uonevu huu wa shetani.
Mizimu pia hutumia manabii wa uongo kwa udanganyifu au upotoshaji, mizimu pia hutumiwa na wachawi na wapandisha pepo, Mizimu pia hutumiwa na dini za uongo.
MUNGU awabariki sana
Pia kuna baadhi ya magonjwa yanasababishwa na mizimu mfano Pumu, kuumwa miguu, miguu kufa ganzi, vivimbe mbalimbali katika mwili, kutokukua kiroho, matumizi mabaya ya pesa na kutokupona magonjwa. Ndugu kimbilia maombezi na utakuwa huru mbali na uonevu huu wa shetani.
Mizimu pia hutumia manabii wa uongo kwa udanganyifu au upotoshaji, mizimu pia hutumiwa na wachawi na wapandisha pepo, Mizimu pia hutumiwa na dini za uongo.
MUNGU awabariki sana
Ni mimi ndugu yako PETER MICHAEL
Maisha ya ushindiMinistry
Maisha ya ushindiMinistry
Ubarikiwe ndugu Kwa ujumbe huo.
ReplyDeletekuna baadhi ya mambo sio kweli katika hayo uliyosema
ReplyDeleteMfano Kama yapi
DeleteMfano
ReplyDeleteKiukweli hapo katika ufafanuzi umekosea.
ReplyDeletekabla ya kuandika makala hakikisha unasoma makala za watu wengine na kuakikisha unamaarifa ya kutosha kuhusu unachotaka kuandika..
ReplyDeleteWewe unatuambiaje kama yesu alipokuwa anaomba alitokewa na mizimu ya Musa na Aliya Je unataka kutuambia ni shetani aliwatumia au
ReplyDeleteAcheni kutudanganya hamna uhakika na mnakotuambia nyie
ReplyDeleteFEDHA AU UTAJIRI WA NDAGU AU MAJINI NDANI YA MUDA MCHACHE MPAKA MASAA 48(SIKU MBILI) HATA UKIWA SEHEMU ULIPO KIKUBWA UWE JASIRI, MSIRI, MWENYE MALENGO NA NIDHAMU INSHAALAH JAMBO LINAKAMILIKA.
ReplyDeleteKwanini unateseka na kutaabika na wakati ufahamu na Siri zipo ili kufumbua fumbo utajiri na kwa muda mchache. Aliyesema hakuna linaloshindikana chini ya just hakukosea shida kwanini wewe uwe kituo chake kila utuo wa matatizo ni wewe, Kwanini?
Kama unapata fedha huoni zinapita au umefanya biashara imebaki palepale, Magonjwa huelewi yanatoka wapi,
KARIBU KIKUBWAUWE NA NIA IMANI NA UTAYARI MALIPO NI BAADA KARIBUNI SANA.
💀IFAHAMU MIZIMU NA UNDAANI WAKE KATIKA KUPATA MALI ....
DOKTA MDIRO whatsp/call +255 742162843 Everyone
ANGALIZO HUSIJARIBU JAMBO ULIZA KWA MAELEKEZO
Omba lolotee kwa njiaa ya mizimu mungu atatenda asema DOKTA MDIRO,
Kuna watu wakisikia neno mzimu wanatimkaa mbio lakini wakisikia neno mtakatifu wanabarikiwa na wakati ni kitu kilekile kasoro jina tu.
Daktari wa kiafrika anaitwa mganga wa kienyeji na wa kigeni ni Mtaalamu au mwanasayansi.
Ibada takatifu zinaitwa Kusali na za lienyeji zinaitwa matambiko amka wacha kulala.
watakatifu wa kiafrika wanaitwa mizimu, Mzimu nii binadamu yeyote yule aloachaa mwili na ANAISHIII na mungu karibu, kwaiyo sisi sote nii mizimu watarajiwa, unapomfananisha Mzimu na shetaani nikukataa ukuu wa afrikaa, wazungu Mzimu uloishiii vizuri dunian wanauita mtakatifu sisi mizimu iloishi vizuri na VIBAYA duniani tunaayaita mashetani.
Ndiomaana ktk orodha ya watakatifu karibu wote wazungu, waafrika wa kuwahesabu, @highlight
WAZUNGU KWENDA MAKABURINI WANAITA HIJJA , SISI KWENDA MAKABURINI TUNAITA MATANDIKO, HATA MZIMU WA NYERERE UMECHUKUWA MUDA KWELI KUFANYWA MTAKATIFU KWASABABU HAKUWA MZUGU.
🤫DOKTA MDIRO ANASEMA MIZIMU INAFAIDA KUBWA KTK MAISHA YA MUWAFRIKA, KUIKATAA NI KUKUBALI BALAAA NA KUKUBALI NI CHAZO CHA BARAKA.
NA MAISHA MEMA APA DUNIANI,
😒 Mikosi, manyanyaso balaa, na gundu ulizonazo haziwezi kuondoka mpk ukutane na mizimu yenu .
Dokta MDIRO ANAKUAMBIA MIZIMU YA BIBI YAKO NA BABU YAKO INAA MAJIBU YA MATATIZO YAKO.
UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI
ReplyDelete(Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajili ni azina kutoka kwa mwenyezi mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)
MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA
kwa maelezo kamili piga namba +255742162843
(KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.
NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.
(kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
1. uwe una umri wa miaka 18+
2. uwe tayari kupokea masharti yote
3.uwe na uwezo wa kutunza siri
4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.
HUSIPITE HII SOMA IKUSAIDIE
ReplyDeleteWengi wanajua marazi mabaya ni
I/CANCER
ii/SUKARI
iii/UKIMWI
Ni kweli ila kuna hili tatizo sasa hivi kila mtu yupo nalo ni
MSONGO WA MAWAZO. Yaani STRESS hili nitatizo wengi ulipuuzia ila nitatizo kubwa sana na limechukua sana ndugu zetu kwa visingizio kaumwa na kichwa ndio kifo chake kumbe ni msongo wa mawazo
unapo kuwa na mawazo upelekea kufanya vitu vitakavyo kuletea kila aina ya maradhi au matatizo ukiwa na mawazo unaweza kufanya ngono zembe zikakupa maradhi , ukala vyakula kuisi vinakufariji kumbe ndio unapata matatizo,
unaweza ukaona una tatizo la kichwa mara kwa mara kumbe tatizo hilo ni msongo wa mawazo sana asari mbaya zaidi ni pale kichwa kuuma mpaka kupelekea mishipa ya fahamu kupasuka sasa hapo ni kifo au stroke yani pararaizi
sasa jitahidi sana ukiwa na mawazo au kitu chochote kinakuumiza usibaki nacho moyoni mtafute mtu unae muamini mwambie hili akunusuru na matatizo makubwa yatakayo tokea kutokaka na msongo wa mawazo
ATHARI ZINAZO TOKEA KWA TATIZO LA MSONGO WA MAWAZO NIKAMA
1)KUJINYONGA
2)KIFO CHA GAFLA
3)KUSHINDWA KUFANYA MAJUKUMU YAKO
4)MWILI KUWA DHOOFU
5)AJALI N.K
KWAIYO MSONGO WA MAWAZO NI TATIZO HATARI ZAIDI JITAHIDI ISICHUKUE NAFASI KWENYE MAISHA YAKO
KUNA WALE WANZABE WANAKULA NYAMA MBICHI MAJI MACHAFU NA WANAISHI VIZURI TU KWAKUWA SIO WENYE STRESS KAMA SISI
SISI UTASIKIA KALALA KAFA KAUMWA KICHWA TO KAFA KADONDOKA KAFA KAJINYONGA KAFA YOTE HAYA NI MAWAZO VYAKULA AVIUI ARAKA KAMA MAWAZO YAKIKUZIDI
1)UKIWA NA UKIMWI UNASHAURIWA USIWE NA MAWAZO MARA KWA MARA
2)UKIWA NA SUKARI UTAKIWI UKAWA MWENYE MSONGO WA MAWAZO
3)UKIWA CANCER UTAKIWI UKAWA NA MAWZO MARA KWA MARA
HUSIKUBALI KUKAA NA JAMBO LIKAKUTESA BURE NIPIGIE SIMU KWA USHAURI NA MATIBABU NI BURE KABISA BAADA YA JAMBO KUWA SAWIA UNANIPA SHUKRANI.
HUSIKUBALI KUTESWA NA
MAPENZI,
UGONJWA,
UMASKINI N.K
ZIPO NDAGU NA MAJINI WA MALI NDANI YA MASAA 48(siku mbili) malipo ni baada ya mafanikio karibu UWE na nia pia Kwa hili nataka vijana wanaojitambua na wenye nia kweli sitaki watoto chini ya MIAKA 20 njoo usaidike.
@highlight Following 𝑭𝒐𝒍𝒍𝒐𝒘𝒆𝒓𝒔. TAWALA ZA MAJINI NA TIBA ZAKE NA NJISI YA KUWA TUMIA millard ayo
DOKTA MDIRO
USHAURI NA URAFIKI BURE
+255 742162843
piga simu au whatsup